4.
4.1 Shahada.
        Tafsiri na Maana ya Shahada.
 - Shahada ya kwanza.
        “Nashuhudia kuwa hapana Mola ila Allah”
Sifa (tabia) za mtu aliyetoa Shahada ya Kwanza Kiutendaji:
-Hatamtii yeyote katika maisha yake ya kila siku ila Allah peke yake.
        -Hatamuogopa, hatamtegemea na hatamuomba yeyote ila Allah.
        -Hatafuata mwongozo wowote ila ule wa Allah pekee.
        -Hatamshirikisha Allah (s.w) kwa chochote kile.
        -Atajipamba na sifa na tabia njema zilizoainishwa katika Qur’an na Sunnah.
- Shahada ya Pili.
   “Nashuhudia kuwa Muhammad ni Mjumbe wa Allah”
Sifa (tabia) za mtu aliyetoa shahada ya Pili Kiutendaji:
-     Kumtii Mtume (s.a.w) kwa kufuata aliyoagiza na kuacha aliyokataza.
        -     Kumuiga Mtume (s.a.w) katika mwenendo na tabia yake.
        -     Kumfanya Mtume (s.a.w) kuwa hakimu wa mambo yetu yote.
        -     Kuliendea lengo la kuletwa kwake la kuusimamisha Uislamu katika
        jamii. 
Umeionaje Makala hii.. ?
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kabla ya kuhubiriwa uislamu watu wa Maka walikuwa na tarayibu zenye dhuluma ndani yake katika ugawaji wa mirathi.
Soma Zaidi...Tofauti na maradhi yaliyotajwa hapo juu pia tafiti za kisayansi zimethibitisha kuwepo kwa maradhi mengine hatari yanayosambazwa na mbu, kama vile ngirimaji pamoja na matende.
Soma Zaidi...