picha

Dawa ya fangasi ukeni

Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni

Dawa ya fangasi ukeni

DAWA YA FANGASI UKENI
Fangasi ukeni wanaweza kuwa ni tatizo kubwa na wakati mwengine wanaweza kuleta aina, madhara na kupoteza ladha ya mapenzi. Fangasi ukeni ni rahisi kutibika kama mwanamke atatumia dawa kwa uangalifu. Unaweza kutibu fangasi ukeni kwa kutumia dawa za kupata kutoka katika maduka ya dawa. Kama hali haina nafuu muonedaktari anaweza kukuandikia dawa za kumeza ama sindano ikibidi. Kunawada nyingine si za kupaka ila ni vidonge, hivi mwanamke ataweza ukeni na kitamumunyika chenyewe.



Makala hii inakwenda kukuletea tiba na dawa za fangasi ukeni, sababu zake, namna ya kupambana na fangasi hawa na dalili za fangasi ukeni. Pia tutaona madhara ya fangasi ukeni endapo watachelewa kutibiwa. Soma mkala hii hadi mwisho huwenda ikakusaidia sana.



1.Dawa ya fangasi ukeni ya kupaka
A.Clotrimazole
B.Miconazole
C.Tioconazole
D.Terconazole
E.Butoconazole



Ni vyema kumuona daktari kwanza kabla hujatumia dawa hizi. Kwa mfano terconazole na butoconazole zinahitaji maelezo kutoka kwa daktari kwa usalama zaidi wa afya yako.



2.Dawa ya fangasi ukeni ya kumeza
Endapo dawa za kupaka hazikuonyesha ahueni, mgonjwa atabadilishiwa dawa na kupewa za kumeza ama sindano.fluconazoe (diflucan) hii ni nzuri sana kwa wenye fangasi silizoshindikana kwa dawa za kupaka. Pata kwa nza maelezo ya daktari kabla ya kutumia. Dawa hii haitumiwi na wajawazito. Ukitumia dawa hii unaweza kuona mabadiliko kama maumivu ya tumbo au tumbo kuvurugika na maumivu ya kichwa.



3.Dawa ya fangasi ukeni walio sugu (azole resistant therapy).
Dawa hii sio ya kumeza, maana ni hatari sana. Napi asio ya kupaka. Dawa hii hutumika endapo ddawa za hapo juu zimeshindikana. Kwanamke atapewa dawa hii aiingize kwenye uke wake.



Nini kinasababisha fangasi ukeni?
Fangasi ukeni husababishwa na ina ya fangasi wanaoitwa candida albican. Kikawaida ukeni kuna bakteria na fangasi aina ya candida kwa kiwango maalumu. Pia kuna aina ya fangasi waitwao lactobacillus hawa huzuia ongezeko la fangasi candida wasiwe wengi kupitiliza. Sasa endapo fangasi candida wakizaliana kwa wingi na kupitiliza kiwango ndipo madhara yanaanza kuonekana. Swali la kijuliza hapa inakuwaje fangasi hawa wanazaliana zaidi?



Sababu za kuzaliana fangasi ukeni kwa wingi:
A.Kama mwanamke anatumia dawa za antibiotics
B.Kama mwanamke ana mimba
C.Kisukari kilichoshindwa kudhibitiwa
D.Mfumo wa kinga kudhoofu
E.Kutumia dawa za kudhibiti uzazi wa mpango dawa za kumeza.



Namna ya kujilinda na fangasi wa ukeni
1.Jiepushe kuvaa nguo za ndani zilizobana sana
2.Jizuie kusafisha uke kwa kemikali
3.Jiepushe na baadhi ya vifaa vya wanawake vilivyowekewa manukato kama pedi zenye manukato, badhi ya sabuni zenye manukato za kusafishia uke n.k
4.Kama huna ulazima wa kutumia antibiotics wacha kutumia
5.Usivae nguo zenye majimaji, hakikisha nguo zako ni kavu, ni vuema zile za ndani zikawa ni za pamba.




Dalili za fangasi ukeni
1.Miwasho ukeni
2.Maumivu wakati wa kukojo ana wakati wa kushiriki tendo landoa. Maumivu haya yanaweza kuwa kama unaunguwa ivi
3.Kuvimba kwa papa na kuwa nyekundu
4.Uke kuuma
5.Uke kuota upele ama ukurutu
6.Kutokwa na uchafu ukeni
7.Uke kutoa majimaji memngi



ATHARI ZA KUTOTIBU FANGASI
A.Kuendelea kupata maumivu
B.Kutoa harufu
C.Kuchubuka na hatimaye vidonda
D.Kujikuna muda wote
E.Kutokuwa na raha
F.Maumivu wakti wakukohoa na kushiriki tendo la ndoa
G.Kukosa hamu ya kushiriki tendo ka ndoa.





                   



Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 8917

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 web hosting    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 ai web app   

Post zinazofanana:

Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.

Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
Ushauri kabla ya kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Namna ya kutumia tiba ya jino.

Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Chini ya Tumbo langu Kuna uchungu lakini si sana shinda ni ni?

Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu?

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.

Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu

Soma Zaidi...
Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)

Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,

Soma Zaidi...
Dawa ya Carvedilol na kazi yake.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Carvedilol na kazi yake, ni dawa inayotibu au kuzuia mapigo ya moyo ambayo yako juu na kusababisha kulegeza kwa mishipa ya moyo.

Soma Zaidi...
Dawa ya kutibu UTI

Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI

Soma Zaidi...
Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi

Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.

Soma Zaidi...