image

Faida za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Faida za passion

1. Lina virutubisho Kama vitamin C na A pia Lina madini ya chuma na potassium

2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali mwilini

3. Hulinda moyo dhidi ya maradhi ya moyo

4. Huboresha afya ya macho

5. Huondoa tatizo la kutokupata choo

6. Hupunguza uwezekano wa kupata satarani ya tumbo, utumbo na matiti

7. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya kisukari

8. Huimarisha mwili dhidi ya maradhi ya mara kea mara





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1145


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

ijuwe namna ya kufanya ihram na Vazi la ihram
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Pensheni
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Mahindi
Soma Zaidi...

RANGI ZA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini
Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mihogo
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini
Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake Soma Zaidi...

Vyakula vya kuoambana na mafua
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua Soma Zaidi...

Ni katika kiungo kipi cha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula virutubisho hufonzwa?
Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula tangawizi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi Soma Zaidi...

Faida za chungwa na chenza ( tangarine)
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini Soma Zaidi...

Faida za kula nanasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi Soma Zaidi...