image

Faida za mbegu za papai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za papai na umuhimu wake kiafya

Faida za mbegu za papai

Mbegu za papai mara nyingi huliwa baada ya kukaushwa na kusagwa kuwa unga, pia unaweza kuzikaanga kidogo au kuzichemsha

1. Husaidia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kufanya kazi vyema

2. Hudhibiti ugonjwa wa saratani

3. hulinda Figo kufanya kazi vyema

4. Husaidia mwili katika kupambana na vijidudu vya maradhi

5. Husaidia kwa wenye kisukari

6. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini

7. Mbegu za papai zina virutubisho mbalimbali





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1484


Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Madrasa kiganjani     ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi     ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio     ๐Ÿ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     ๐Ÿ‘‰5 Kitabu cha Afya     ๐Ÿ‘‰6 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

NJIA ZA KUFUATA ILI UKUBALIWE NA GOOGLE ADSENSE
GOOGLE ADSENSE ni moja kati ya njia za kuu na muhimu za kujiingizia kipato kwa waandishi na wamiliki wa blogs na website.Naweza kusema kwamba ndio kampuni inayolipa vizuri kuliko nyingine yoyote ile japo zipo nyingine kama; Soma Zaidi...

Dalili na sababu zinazopelekea matatizo ya ugonjwa wa ngono.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili zilizopo katika matatizo ya ngono. Soma Zaidi...

Malengo ya elimu katika uislamu
Nini malengo ya elimu katika uislamu(EDK form 1, malengo ya elimu katika uislamu Soma Zaidi...

Namna ya kuandaa mbegu za parachichi kwa matumizi ya dawa.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi. Soma Zaidi...

FAHAMU MUDA WA TOVUTI/BLOG KUANZA KUKULIPA
Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa kukatika Nywele.
Kukatika kwa nyweleร‚ย kunaweza kuathiri tu kichwa chako au mwili wako mzima. Inaweza kuwa matokeo ya urithi, mabadiliko ya homoni, hali ya matibabu au dawa. Mtu yeyote wanaume, wanawake na watoto anaweza kupoteza Nywele. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa chunusi
Posti hii inaonyesha dalili,sababu na matatizo ya chunusi Soma Zaidi...

Afya
Umuhimu was afya na Hindi ya kuitunza afya Soma Zaidi...

NINI MAANA YA BROWSER AU KIVINJALI KATIKA INTERNET
Nahitimisha kwa kusema ili ufanikiwe katika kuwa mahili wa kutafuta taarifa mtandaoni au kujifunza chochote mtandaoni ni lazima uelewe kuwa borwser au kivinjali kwa kiswahili ndio kama njia ya wewe kuingilia tovuti yoyote ile duniani. Soma Zaidi...

Tabia za watu wenye damu ya group A au kundi A.
Posti hii inahusu zaidi tabia za watu wenye damu la kundi A na vyakula ambavyo wanapaswa kuvitumia, na pengine tutaona baadhi ya vyakula ambavyo havipaswi kutumiwa na watu wenye damu ya kundi A au group A Soma Zaidi...

Mafunzo ya Computer kwa Kiswahili
Utajifunza na kuelewa hata kama hauna computer kwa muda huo Soma Zaidi...

Naulizia nyenzo alizotumia nabii Ada (A.S) kusimamisha ukhalifa
Baada ya Nuhu(a.s) Mtume aliyemfuatia ni Nabii Hud(a.s). Hud(a.s) alitumwa na Mola wake kuwalingania kabila (taifa) la ‘Ad. Kabila la ‘Ad lilikuwa likijulikana kama ‘Ad-al-ram au ‘Ad-Ula. ‘Ad walikuwa wakiishi kusini ya Bara Soma Zaidi...