Fangasi wa kwenye uke.
Fangasi hawa kitaalamu wanafahamika kama vagina yeast infection na majina mengine ya kitaalamu ni kama vagina candidiasis, u vulvovaginal candidiasis au candidal vaginitis.
2. Fangasi wa kwenye uke.
Fangasi hawa kitaalamu wanafahamika kama vagina yeast infection na majina mengine ya kitaalamu ni kama vagina candidiasis, u vulvovaginal candidiasis au candidal vaginitis. Majina yete haya yanalenga vagina yaani uke.
Dalili za fangasi hawa wa ukeni
- Uke kuwasha na kuweka kama makovu
- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
- Paumivu wakati wa kukojoa
- Kutokwa na majimaji yasiyo ya kawaida kwenye uke.
Wakati mwingine fangasi hawa wa kwenye uke wanakuwa hatari sana na kusababisha mipasuko kwenye ukuta wa uke, kuvimba na kuwa kwekundu. Hali hizi humfanya mwanamke kukosa hali ya kujiamini.
Walio hatarini zaidi
Fangasi hawa ni kawaida lakini kuna watu ambao wapo hatarini zaidi kupata fangasi hawa. Tafiti nyingi bado zinafanyika kuweza kugundua kwa nini watu flani wapo hatarini zaidi kuapa fangasi hawa. Watu hawa ni:-
- Wajawazito
- Wanaotumia njia za uzazi wa mpango za homoni
- Watu wenye kisukari
- Watu wenye mfumo dhaifu wa kinga kama wenye HIV
- Wtu wanaotumia antibiotics
Kupambana na fangasi hawa
- Vaa nguo za ndani zinazotokana na pamba
- Usivae nguo za kubana
- Vaa nguo zilizo kavu
- Zungumza na daktari kuhusu matumizi ya antibiotics kama zinakuletea madhara
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Kupambana na kisukari
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na kisukari
Soma Zaidi...MARADHI YA MOYO
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Dalili za Ukimwi
Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV
Soma Zaidi...