Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa
Yakiwa na harufu ama yanawasha ama yana rangi ya kijani ni ishara ya ugonjwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mwenye hupungufu wa. Vitamin e. Hujiskiaje
Mimi maziwa yalikuwa yanauma ndani ya siku 7 siku ya 13 nimeona damu je.ninamimba
Mimi nimetafuta mtoto takiribani miaka 17, mmpa leo sijapata shida niliambia homon zipo chini, mayai hayapevuki yaani yamefika mwisho naweza pata matibabu mengine umri 45
Ni njia zipi za kuboresha mbengu za kiume ili mwanamke aweze kupata mimba??
Je mtu ambae haswali tu lakin hamshirikshi Allah je hukumuyake
Na je Kuna complication gan anazopata mtyu akitoa ujauzito wa wiki mbili