Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili ya kujua kuwa leo ni ovulation
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 88
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hello. Habari mm naumwa fungus nikijikuna napata maumivu sana. Na nimechubuka kwenye mashavu ya uke na nimetumia dawa CANI_MAKS lkn naona hainisaidii chochote je nitumie njia gani ya asili au dawa gani nipone?
Mimi ni msichana wa umri wa miaka 25, nimeingia kwenye hedhi mara ya mwisho tarehe 15 mwezi wa 3, nilibadilisha mazingira na kwenda mkoani kwenye wiki hiyo ya hedhi na nilivyorudi nikakutana na mwanaume siku ambayo kwenye mzunguko ilikuwa salama. Hedhi ya mwezi wa 4 imechelewa imeanza wiki ya 3 sasa, nimepima kwa UPT imeonyesha positive. Je inawezekana kuwa nilikutana na mwanajme siku ya hatari kwamba mzunguko ulibadilika au vipi !!?
Mfano umelala na mtu ukatumia kinga kwenye shugli gafla ukashtukizia CD imepasuka gafla ukatoa apo Kwa apo ivo unaeza ambukizwa vvu
Kuna dalili naziona kama kichwa kuuma japo akiumi sana na sijiskii homa na kichwa kinauma upande mmoja wa kushoto na ni miez miwili sasa nimedate na mtu ambae simuamini je naweza kua nimepata maambukizi 😢doct
Ninasumbuliw na fangas na nikatumia dawa ya mba ya maji ila tatizo likaendelea nikamwona mshauli wa afya akanipa vidong kumi na nimetumia ila bado hali niayo tyu vile vile naomba ushaulo kwako
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb