Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vp me nina tatizo kupasuka mdom yaan kubabuk
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1251
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari za asubuhi. Nmesoma kwa makini sana kazi za protini mwilini. Lakin pia nmesoma ikizidi sana mwili matatizo yake. Nauliza kama ikizidi inakuwa shida ni kiwango gani cha protini mtu atumie kwa siku na ale na wanga kias gani?
Mm nimjamzito nanimefikisha miezi Tisa mtoto anatuna sehem Moja maumivu yanakua makali tatizann namgogo
Mzazi wangu anaumwa na miguu magoti hana uteute
Nahitaji tiba ya magoti yaliyo kauka uteute
Assalam Alyqum Warahmatullah Wabarakatu...
Nimepitia kitabu chenu kimojawapo nikakutana na Vipengele vingi tu lakin kimojawapo n cha STARA kwa Mwanamke.kuwa ajifunike mwili mzima kasoro USO na VIGANJA..
Swali langu..Je kwa Wanawake wanaovaa Madera au Vijora nguo hizo huku mikononi huishia nusu mkono.nao watakuwa njee ya STARA au itakuaje na nini kifanyike.??? Asanten👏🏿
Mm tatzo langu asubuhi nikiamka utumbo unakuwa unauma misili yakuwa kama nna sku tatu sjala
Je!mtu mwenye ameathitika unaweza kulala nae