SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #552 28-02-2023 05:57:10
Question Icon

Jana alikuja alielua  mume wangu  akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai

JIBU

Talaka inaswihi hata kama hakuna mashahidi. 


Pia talaka inaswihibkwa matamshi ama kwa karatasi ama kwa kuashiria endapo hawezi kutamka.

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi