Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?
Hakuna muda maalumu yanaweza toka mara moja tu ama zaidi ama yasitokee kabisa.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina Miaka 25 ni mwanaume. Tatizo langu ni kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa Hadi kupelekea kushindwa kufanya tendo lenyew hii hutokana na sehemu za Siri (korodani kuuma au kukaza) na kupelekea pia sehemu ya juu ya kupata maumivu pia na tatizo hili limenianza mwaka huu
Mm tumbo linaniuma alafu hedhi inatoka lakini so nyingi lakini pia nkiponyeza matti yangu yanatoa maziwa je itakuwa ni nn?
Habari napenda kuuliza jinsi ya kutengeneza mafuta ya zaituni na faida ya kula matunda yake
Je kama unaumwa joint za miguu, kiuno na unakojoa mara kwa mara na kichwa kuum sana utaweza kupona
samahan mie nahisi kiuno kinauma kwa mda kinaacha pamoja na tumbo linakuwa linauma naenda kuharisha ninawiki 34 nasiku2
LNMP yangu ilikua Ni trh 21/1 mpka sass trh 24 sijaingia je naweza kua Ni mimba? Au nisubir mwez uishe