Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mafunzo yapatikanayo katika vita vya tabuki
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 367
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je inafaa kutoa talaka mbili kwa mkupuo mmoja?
Je kula chakula ni ibada Au ni ada
Yale manii yanaotoka mwishoni mwa haja ndogo yanabatilisha funga?
Assalam alaykum nauliza eda ya khulu Ni muda gani? Na wanaweza kuregeana?
Assallam Allykum, sorry Kuna Wana ndoa waligombana na katika huo ugomvi mume akamtamkia mkewe kuanzia Leo sio mke wangu Kwa talaka Moja, alaf hata nusu saa haikufika mume akaomba radhi Kwa mkewe na kufanya tendo la ndoa Kwa madai ya kutengua talaka je, mume yupo sahihi kweli ktk hili?!
Mume kampa talaka mkewe baada ya siku mbili tatu mume kamuhitaji mtalaka wake na wakakutana wakafanya yao, lakini hajamtamkia kama kamrejea, je hapa atakua kashamrejea au amezini nae?*