Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mimi ni mwanamke na miaka20 je naweza pata mimba bila kuona ute
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1110
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi Nina tatizo LA kuwa nikimkojolea mwanamke shahawa baada ya dakika chache anakuwa anahisi maumivu makali tumboni mwake nimetumia dawa za hospitali lakini tatizo linazidi kuwa kubwa na si Kwa mke wangu tu nimejaribu pia Kwa wanawake wengine hali Bado ni Ile Ile.Nifanyaje Ili nikae sawa?
Samahani mimi nasumbuliwa na kichwa hasa Nikiwa na mawazo, nakosa hamu ya kula , nahisi baridi samahani zinaweza kuwa dalili za nini
Swali languu mm nasumbuliwa na kukojoa mkojoo wanjano sio kawaida Ila Sina maumivuu yyote yanayonisumbuua
Habari dr Ikiwa mimba iliharibika ukakaa kama wiki mbili ukakutana na mwenzako ukasex na ukatumia p2 ndani ya masaa4 kuna uwezakano wa kupata mimba
Swali langu, ipi Sababu ya mwanamke kuchanganywa na siku yake ya period eg, maalum Ni tareh 23 Kila mwezi ,utaona inamshusha 18, Mara 22 kupanda Tena 26 , naomba kujua doctor
Baada ya kumwaga sperms ndani ya uke MTU afaa kusimamisha kwa dakika ngapi