Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm ninafangas uken nimechubuka nitumie daw gan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 504
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nnamchumba wangu nampenda sana lakn Kwa bahat mbaya nmebeba mimba ya mwanaume mwingine nifanyeje
Ivi mafua ya mara Kwa mara, kuhisi uchovu, na kukosa hamu ya kula ni dalili za UKIMWI??
Samahani naomb kuuliza mapigo yamoyo hua yanaenda mbio sana lakini kwa mda mfupi mpaka naishiwa nguvu nahisi kuchoka,ila nlishawahi kushikwa napresha nkiwa mjamzitoe je nifanyaje hiyo hali ipotee
Ulimi wangu umechanika cjui shida nn na nimepima HIV cna itakuwa ni nn
Mimi ni mjazito siku zangu zimekaribia za kujifungua na Niko na shida za saa nyengine ya pumzi shida ni nini
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?