Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mwamke kua na uke mkubwa chanzo chake nn?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 564
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kutema mate,kukauka lips,n maumivu y tumbo inatokana n nini?
Alafu nilitoa sindano ya miaka tano last week na naitaji mimba nitakaa for how long diyo nipate mimba
Habar katika dalili zote nilizosoma ninazokumbana nazo mm ni kujisaidia kinyesi laini ,kujamba mara kwa mara ,kuhisi kwenda haja kubwa ukienda unajamba tu, kichwa kuuma ,na paja kuuma mm nitakuwa na shida Gani maana napata maumivu tumboni upande wa kulia
Na ukifanya ngono na mwanamke mwenye virusi pasipo kupata mchubuko wakati wa tendo Kuna uwezekano wa kupata virusi?
Habar docta samahani eti kwa mfano mtu akiwa yupo kwenye dawa ya pep ya kuzuia maambukizi ya ukimwi ata ikitokea amejichoma tena kwenye mazingira atarishi pia inazuia kwasabu unakua ushameza dawa na zipo anaendelea kumeza.
Me naomba kuulza ivi kuna siku maalumu ukifanya tendo la ndoa endapo mke atapata ujauzito bc mtot atakuwa wa kiume ipo siku iyo?