SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #1202 06-05-2023 06:04:24
Question Icon

Naomba kuuliza kuhusu watu wanaofanya mapenzi kwa mdomo, means kunyonya sehem za Siri,1.wale bacteria au fangus wanaweza kusababisha kansa ya Koo? 2.kama ni ndio utajuaje kama umepata saratani kwa muda huo?3. Kama wapenzi walikua wanFanya hivyo either Mara 3 au 4 alaf wakaacha madhara gan yatatokea? 5. Hatua zipi zichukuliwe Kama Kuna magonjwa yatatokea?

Samahani

Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.


Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1202

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi