Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari? Samahani naomba kuuliza swali he unaweza pata dalili za ujauzito baada tu ya siku tatu? Na je inaweza sababisha ukilala kwa mgongo tumbo liume?
samahan naitaj kujua majib sahii juu ya kipimo Abbott make kimetoa misital miwil
Mke wangu anatokwa na vitu vyeuope ukeni na me nipo mbali nae Sana nahitaji msaada wenu
Kama nimeingia period trh 16 na kumaliz trh20 nikishirik tendon la ndoa trh27 au 28;29 nawez pata mimba
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?
Hello,,Mimi nikishiriki tendo la DOA na boyfriend wangu na akanijulisha yakwaba ameshikwa na maumivu na Mimi akuna venye nasikia at a kidogo
Nikiwahi pata infection na nikatibiwa soo kumaanisha aijawagi pona ama nafaa nitumie dawa gani