Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni siku ya tatu Leo Kila nikikojoa, mwishoni damu inatoka kwa nini?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 601
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je naweza kua mjamzito na chuchu zisiume?
Assalam Alyqum Warahmatullah Wabarakatu...
Nimepitia kitabu chenu kimojawapo nikakutana na Vipengele vingi tu lakin kimojawapo n cha STARA kwa Mwanamke.kuwa ajifunike mwili mzima kasoro USO na VIGANJA..
Swali langu..Je kwa Wanawake wanaovaa Madera au Vijora nguo hizo huku mikononi huishia nusu mkono.nao watakuwa njee ya STARA au itakuaje na nini kifanyike.??? Asanten👏🏿
Nimenunua hili tunda zaituni kwanza,nimelionja kwamarayakwanza tangu nizaliwe sijawai kuila baada ya hapo nimegoogle nakwangalia faida zake Nahitaji kujua mengi kuhusu hili tunda
Nina maumivu tumbo la chini ya kuelekea upande wa kushoto ,maumivu tumbo la juu karibu na kifua ,maumivu pingili za mgongo na kiuno pia mbavu jinsi yangu ni Ke miaka 44
Samahan mm napata maumivu baada ya kumarza tendo randoa shda inakuwa nn hasa pia ume wangu unasima kidogo unakuwa meregea hauwi mgum ashda nn hasa
Nasikia dalili ya kuumwa Tumbo Kwa chini upande kushito, mäumivu yanafika mpaka nyingani