Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 100
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Toka nianze kupata hedhi yangu sijawahi pitisha mwezi sijapata lakin saiv nimeona mabadiliko sijapa hedhi yangu mwezi mmoja toka nimeingia mwezi wa pili tarehe 22 sijapata tena na pia nakuwa najisikia mchovu mwili pia kichefuchefu mara mojamoja baada ya kla chakla sijajua hii ni shida gan naomba mnisaidie
Mm tatzo langu asubuhi nikiamka utumbo unakuwa unauma misili yakuwa kama nna sku tatu sjala
Ni vyakula gani vinasaidia kuongeza madini mwilini?
Habari ya saa,Naomba kujua mke wngu ana mimba ya mwezi mmoja sasa ila akivua chupi yake huwa na ute ulio changanyik na damu kiasi ,hii ni dalili gan naomba msaada
As salam alaiykum, ni myama gani huyu atakae semezana na watu?
Nlikuwa nasikia uchungu side ya left 4one month then hio uchungu ikahama ikakam pande ya right,sasa imeama tena iko hapa chini kutoka jana iko hapa chini uchungu mwingi sana,nn inawza kuwa na shida, please help me