Pata jibu kamili kuhusu swali lako
samahan mi miguu yangu inauma kwenye magoti kwa chini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 186
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kutokwa na majimaji sehemu za siri ni dalili za nn
Hivi kw mfano tupu mbili zikakutana ya kike na yakiume lkn ile ya kiume ikawa haijazama ndani yaani namaanisha imeekeshwa tu kweny uke bila kuzama ndani ule uume je panauwezekano wa kupata mimba
kuna ukweli gani kuwa mtu mwenye damu yenye wesi sana anaweza kuwa na maambukizi ya VVU?
Nahitaji kujuwa kwann nikiwa kwenye siku hatari, huwa najisikia maumivu ya chuchu, kitovu
Mambo...hope uko poa...samahan nataka kujua kuhusu ujauzito mchanga,,,m nasikia tumbo langu ni kama Alina matumbo kabsa n tupu inaweza kuwa dalili ya mimba?
Ninatokewa na vijiupele kwenye kichwa cha mboo Kuna dawa nilipewa ya kupaka ila vinapotea na kurudi