Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahani nina vipere kwenye uume dawa ya asili ni ipi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 662
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu ni, ovarian cyst ya cm10 inaweza kupona kwa dawa au ni lazima operation, kama inaweza kupona kwa dawa bac naomba kujua ni dawa gani inaweza kutibu,
Ninavimba uke na kuwashwa,je nkitmia vidonge viitwavyo " six vaginal tablets vitanisaidia???
Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?
Hllo hamjambo mmi natumia dawa za prep na nimeanza kuzitumia jana 00:00 lkn leo sku ya pili nimelala baada ya kuamka nimepitisha dakika nikanywa 00:58 kesho nafaa ninywe muda gani tafadhali maana nimechelewa kwa dakika tafadhali nishauri
mimi nina minyoo na wasikia kabisa wakiwa wana tembea nyuma nime tumia dawa ya Albendazole lakini bado napata dalili za minyoo
Samahani mimi nataka kujua aina zavidonda vya tumbo