Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swali kangu ni: Je Mwanamke mwenye heidh aweza kushika msahafu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 293
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
Je damu ya vidudu vidogo vidogo ina toa udhu mfano kama damu ya mbu nk
Asalam Alyqum Warhmatullah Wabarakat
Wakati wa swala ya jamaa kwa wanawake, wanasimama hali yakuwa vifundo vyao vya miguu vigusane, inamaan waswali huku wametanua miguu au wakiwa wamebana miguu na kunyoosha swafu kwa kugusana mabega tu...??
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
A.alaykuuu swalii.....kwa mujibuu wa suratul,asri aliefelii na na alifauluu ni nani
Mimi nikitaka kuoa mke wa pili kunahaja ya kumtaarifu bimkubwa na kama nikimtaalifu akakataa je nifanyeje?