picha

Mkojo usio wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo.

Posti hii inahusu zaidi Aina ya mkojo usiokuwaa wa kawaida uwa na vitu vifuatavyo, ukiona dalili kama hizo wahi mapema hospitalini Ili upatiwe huduma.

Mkojo usiokuwaa wa kawaida.

1.Harufu ya mkojo usiokuwaa wa kawaida huwa na harufu ya Ammonia, hii umaanisha kuwa Kuna maambukizi ya bakteria, pia mkojo ukiwa na harufu ya samaki aliyeoza  umaanisha kuwa Kuna usaha kwenye mkojo kitendo hiki Cha kuwa na usaha kwenye mkojo kwa kitaamu huitwa pyuria. Na wakati mwingine mkojo huwa na harufu nzuri hali hii umaanisha kuwa Kuna  sukari nyingi kwenye damu hasahasa tatizo hili uwakumba watu wenye kisukari.

 

2. Uzito wa mkojo,

Mkojo inabidi uwe wa kawaida kwa sababu ya kuwa na vitu ambavyo vinafaa kuwa humor, lakini mkojo ukiwa mzito Ina maana Kuna vitu ambavyo vimeingia na havipaswi kuwa humor, kwa mfano kitendo Cha kuwepo kwa sukari kwenye mkojo, mkojo huwa na uzito kuliko mkojo ambao hauna sukari ndani yake, kitendo Cha mkojo kuwa na sukari kwa kitaalamu huitwa GLYCOSURIA, na mtu mwenye sukari mkojo wake huwa mzito ukiulinganisha na mtu asiyekuwa na sukari.

 

3. Kitendo Cha kushindwa kutoa mkojo nje uko unasikia unataka kutoa mkojo huo nje kitendo hiki kwa kitaalamu huitwa Urinary retention, hii utokea kwa sababu mbalimbali inawezekana ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo au ni kwa sababu ya catheter kama umewekewa kwa mda mrefu, hii hali ikitokea kwa mtu siyo kawaida na haitajiki kuwepo kwa mtu, kwa hiyo na hii ni mojawapo ya mkojo kuja kwa njia zisizo za kawaida.

 

4. Mkojo kupita kwenye kibofu Cha mkojo bila taarifa ya mhusika na kutoka nje na mtu kuja kuzuia inakuwa vigumu, hii utokea kwa sababu ya kulegea kwa misuli iliyopo kwenye kibofu Cha mkojo na kitendo hiki kwa kitaamu huitwa Urinary incontinence, na tatizo hili vile vile uwapata wanawake wanapomaliza kujifungua ambapo sehemu ya kuifadhia mkojo ulegea na mkojo kuanza kutoka Ila ugonjwa huu unatibika sana hospitalini na Katika vituo mbalimbali vya afya kwa hiyo watu wasijifiche wajitokeze wakatibiwe.

 

5. Kwa hiyo tunaona mkojo ambao sio wa kawaida tukiangalia rangi, namna ya kutoka,uzito wake kwahiyo inatupasa kutambua ni mkojo upi na usio wa kawaida na kuchukua matibabu.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 2282

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Visababishi vya magonjwa.

Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.

Soma Zaidi...
Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU

Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu.

Soma Zaidi...
Utajuwaje kama kidonda kupona

Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa wagonjwa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa

Soma Zaidi...