picha

Namna ya kujitwaharisha mkojo wa Mtoto mdogo Najisi Hafifu

Namna ya kujitwaharisha mkojo wa Mtoto mdogo Najisi Hafifu

(c) Najisi Hafifu:



Najisi hafifu ni mkojo wa mtoto mdogo wa kiume chini ya miaka miwili ambaye hajaanza kula chakula ila maziwa tu. Uhafifu wa najisi hii hupatikana katika kutwaharisha. Tofauti na najisi ndogo, najisi hafifu hutwaharishwa kwa kumwagia maji tu ile sehemu iliyonajisika bila ya kusugua. Hivi ndivyo alivyofanya Mtume (s.a.w) kama tunavyojifunza katika hadith ifuatayo:



Aysha (r.a) amesimulia kuw a mtoto mchanga wa kiume aliyekuwa angali ananyonya aliletwa kwa Mtume (s.a.w) aliagiza maji na kuyamiminia juu ya pale palipo kojolewa ”. (Muslim)



Hadathi Ndogo



Kuwa katika hadathi ndogo ni kuwa katika hali ya kutokuwa na udhu na huondolewa hadathi hiyo kwa kutia udhu baada ya kuzingatia na kutekeleza kwa ukamilifu masharti na nguzo za udhu.




                   


Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 3229

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 web hosting    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Swala ya kuomba mvua swalat istiqaa na jinsi ya kuiswali.

Hapa nitakujulisha kuhusu swala ya kuomba mvia, na taratibu za kuiswali.

Soma Zaidi...
Kwanini lengo la zakat na sadaqat halifikiwi katika jamii yetu

Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Hii ndio hutuba ya ndoa ya kiislamu

Hapa utajifunza utaratibu wa hutuba ya ndoa ya kiislamu. Sharti za jutuba ya ndoa na jinsibya kuozesha

Soma Zaidi...
Umuhimu wa swala yaani kuswali kwa mwanadamu

Kwa nini ni muhimu kuswali? Post hii itakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kusimamisha swala.

Soma Zaidi...
Namna ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Taasisi za Kifedha Katika Mfumo wa Uchumi wa Kiislamu

- Ni taasisi za kifedha zinazohusika na kuhifadhi akiba na mali za watu zenye thamani kubwa kama dhahabu, n.

Soma Zaidi...
Mambo yanayotenguwa udhu

Post hiibinakwenda kukufundisha mambo ambayo yanaharibu udhu.

Soma Zaidi...