image

Vyakula vyenye maji kwa wingi

Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini

VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI

1. Tikiti

2. Tango

3. Nanasi

4. Machungwa

5. Madanzi

6. Mapensheni

7. Miwa

8. Mapapai

9. Mastafeli

10. Matunda damu

11. Komamanga

 

 

Faida za maji mwilini

1. Kulainisha viungo

2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi

3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini

4. Huboresha afya ya ngozi

5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu

6. Husaidia katika kupunguza joto

7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji

8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili

9. Hutdhibiti shinikizo la damu

10. Huzuia uharibifu wa figo

11. Husaidia katika kupunguza uzito





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1339


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...

Zijue Faida ya kula tunda la tango.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini. Soma Zaidi...

Upungufu wa vitamini C na dalili zake mwilini
makala Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Pera
Soma Zaidi...

Faida za kula Faida za kula Boga
Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako Soma Zaidi...

Faida za kula papai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin C
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C Soma Zaidi...

Faida za kula Karoti
Umeshawahi kula karoti mbichi, ama ya kupikwa, je unazijuwa faida zake? soma makala hii Soma Zaidi...

Faida za kula Nazi
Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako Soma Zaidi...

Asili ya Madini ya shaba
Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama Soma Zaidi...

Faida za ukwaju (tamarind)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za ukwaju Soma Zaidi...

Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo. Soma Zaidi...