Vyakula vya vitamini D na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI D
- Chanzo kikuu cha vitamini D ni mwanga wa jua, vyanzo vingine katika vyakula nu:-
- Mayai
- Maziwa
- Maini
- Uyoga
Faida za vitamini D
- Kusaidia unyonzwaji wa madini kutoka kwenye chakula kwenda kwenye damu
- Hudaidia kuboresha afya ya mifupa
- Mifupa kuwa imara, madhubuti na isiyopasuka kiurahisi
- Hudaidia kwa afya ya moyo na mishipa ya damu
- Pia husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 ai web app 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 ai web app 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Faida za kula kabichi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kunywa chai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...