Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi

Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi

VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI

  1. Tikiti
  2. Tango
  3. Nanasi
  4. Machungwa
  5. Madanzi
  6. Mapensheni
  7. Miwa
  8. Mapapai
  9. Mastafeli
  10. Matunda damu
  11. Komamanga

 

 

Faida za maji mwilini

  1. Kulainisha viungo
  2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
  3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
  4. Huboresha afya ya ngozi
  5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
  6. Husaidia katika kupunguza joto
  7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
  8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
  9. Hutdhibiti shinikizo la damu
  10. Huzuia uharibifu wa figo
  11. Husaidia katika kupunguza uzito

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2074

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 web hosting    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Vyakula vya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha

Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini na faida zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake

Soma Zaidi...
Faida za kula stafeli/soursop

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop

Soma Zaidi...
Fahamu virutubisho vya wanga na kazi zake, vyakula vya wanga na athari za upungufu wake

Hapa tutaona kuhusu virutubisho vya wanga, kazi zake na athari za upungufu wake

Soma Zaidi...
Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda

Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Faida za mchaichai/ lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo, na vyakula salama kwa vidonda vya tumbo

Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu maji/ onion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia, sababu zake na dalili zzake

Hapa utajifunza sababu za kupatwa na maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Soma Zaidi...