picha
DART SOMO LA 45: JINAI YS KUTUMA MYSQL DATABASE

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya mysql kwenye Dart. hakikisha umeelewa vyema na kutekeleza yalioelekezwa kutoka kwenye somo lililopita.
picha
DART SOMO LA 44: JINSI YA KU INSTALL MYSQL KWENYE PROGRAM YA DART

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuunganisha databse na Dart. Pia utajifunza jinsi ya kuset environment kwenye kompyuta ili kuweza kutumia Dart sdk kwenye CMD.
picha
DART SOMO LA 43: STREAM KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda ujifunz akuhusu concept ya stream kwenye Dart. pia ttaona kwa namna gani strean inaweza kutofautiana na future wakati zote mbili zipo kwenye asychronous programming.
picha
DART SOMOLA 42: ASYNCHRONOUS PROGRAMMING

Katika somo hili tutakwenda kujifunza concept nyingine ya asynchronous programming.
picha
DART SOMO LA 41: CONCEPT YA GENERIC KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya generics ili kuweza kufanya kazi na aina mbalimbali za data kwenye class.
picha
DART SOMO LA 40: FACTORY CONSTRUCTOR

Katika somo hiliutakwenda kujifunza aina nyingine ya constructor ambayo hutumika kwenye Dart. aina hiyo ni factory constructory.
picha
DART SOMO LA 39: MIXIN KWENYE DART

Katika somo hii utakwenda kujifunza kuhusu concept mixin na jinsi inavyoweza kutumika kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 37: CLASS INTERFACE

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class interface na inavyotofautiana na class abstract
picha
DART SOMO LA 36: ABSTRACT CLASS KWEYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu abstract class na abstract method kwenye Dart.
picha
BLOGGER SOMO LA 1: JINSI YA KUTENGENEZA BLOG

Somo hili litakwenda kukufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya kufunguwa blog kwenye mtandao wa blogger.
picha
DART SOMO LA 35: ENUM KWENYE DART:

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu enum na inavyotumika kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 34: STATIC VARIABLE KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static property na jinsi ambavyo inavyotumika.
picha
DART SOMO LA 33 CONCEPT YA POLYMORPHISM

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya polymorphism.
picha
DART SOMO LA 32: INHERITANCE KWENYE CONSTRUCT METHOD:

Katika masomo yaliopita tumesha jifunza jinsi inheritance inavyokuwa, ila hatujaona kwa namna gani utaweza ku inherit constructor method. Somo hili litashughulika na swla hilo.
picha
DART SOMO LA 31: INHERITANCE KWENYE DART OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu inheritance, na inavyoweza kutumika kwenye Dart OOP.
picha
DART SOMO LA 30 :JINSI YA KUTENGENEZA SETTER NA GETER KWENYE OOP

Katika somo hili tutakwenda kujifunza zaidi kuhusu method za getter na setter. Tutakwenda kuona hasa zinavyotumika na zinavyotengenezwa.
picha
DART SOMO LA 29: DART ENCAPSULATION

Katika somo hili tutawenda kujifunza kuhusu encapsulatio kwenye Dart OOP na jinsi inavyoweza kutumika.
picha
NJIA ZA KUJIFUNZA PROGRAMMING LANGUAGE YEYOTE ILE

Hapa nitakwenda kukueleza njia ambazo naweza kuzituia ili kujifunza programming kwa urahisi
picha
DART SOMO LA 28: NAMED CONSTRUCTOR NA CONSTANT CONSTRUCTOR KWENYE OOP

Ka tika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu concept ya named constructor na constant constructor kwenye Object Oriented Programming.
picha
DART SOMO LA 27: DART OOP: MAANA YA CONSTRUCTOR METHOD NA JINSI INAVYOTUMIKA KWENYE OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jins ya kutengeneza constructor method, pia utajifunza matumizi yake kwenye OOP.
picha
DART SOMO LA 26: DART OOP MAANA YA OBJECT, NA JINSI YA KUITENGENEZA KWENYE OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza Object pamoja na properties. Haa kwa ufupi tutakwenda kujifunza jinsi ya kutumia class.
picha
DART SOMO LA 25: DART OOP NINI MAAAN YA CLASS NA VIPI UTAWEZA KUITENGENEZA

Katika somo hili utajifunza maana ya class kwenye OOP paradigm, kisha utajifunza jinsi ya kutengeneza class.
picha
DART SOMO LA 24: DART OOP MAANA YA OBJECT ORIENTED PROGRAMMING KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya OOP na faida zake. Pia utakwenda kujifunza kuhusu features za OOP.
picha
SQL SOMO LA 16: JINSI YA KUANDAA MATOKEO YA MTIHANI KWA KUTUMIA DATABASE

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.



Page 3 of 196

Kuhusu Tehama


image