Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua nini mtazamo wa kikafiri juu ya dini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 747
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kama mwanangu ananitolea zakat fitri na Mimi itanilazimu tena kujitolea mwenyewe?
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum
Je Quran ina sura ngapo?
Nilikua naomba unisaidie jinsi ya kunuia swala ya usiku ile ya haja
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?
Swali langu Tofautisha maadili kwa mtazamo wa uislamu na kitwaghuti