Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni msichana namiaka 30.nahitaji kujua dawa ya chango.
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 148
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nliotumia vitunguu swaum lkn Mar baad ya kukutan na mwenza wangu naon majimaji ya rangi km njano kuelekea kahawia yamekuwa yakitok mengi ad naogop lkn ilikuwa n siku ya htr
Jaman naomba kusaidiwa nimekunywa majibu kwà lengo la kutoa mimba changa lakini tumbo linaniuma chini ya kitovu,nimeharisha ,it's mzigo sanaa umetoka ukiwa na rangi ya maziwa na tumbo likiwa linauma ni kama vile nataka kuingia period je mimba umetoka au bado
Samahan naomba kuuliza je Romanc yaani Denda linaambukiza Vvu?
Mm cjaona cku zangu ila najawa na gesi tumboni mara kwa mara na tumbo kuuma kdgo chin ya kitovu je ni mimba?
Mimi mke wangu anapata maumivu ya kichwa tuu na uke ni mkavu sana ninapo mwingia hata ni mwandae vipi
Kwa kawaida naingia hedhi siku nne ya tano nakuwa namalizia sasa ivi kalibuni nimeingia TU ijumaa juma mos juma pil DAMU ikakata naomba kujua shida ni nini?