Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni msichana namiaka 30.nahitaji kujua dawa ya chango.
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 148
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hello samahan iv tezi dume inaweza sababishwa na ngono zembe
Mm kuna dalili sizielewi na ninajisikia kichefuchefu mate kujaa mdomon napia naumwa kichwa bado sija elewa dalili hizi kiukweri naomba msaada
Haya misutari anayofanyaaa mama mjamzito yanawezaa kuondokaaa Kwa dawa gani au ndo hayaondokaaa tenaaa
Me nilitoa mimba ikatoka ilivotoka baada ya mwezi mumoja nikawa cijaingia periodi nikaenda kukutana na mwenza wangu tulipomaliza kufanya nikameza p2 je mimba itatungwa Tena upya au haitatungwa
Habar doctor mimi ninatumia dawa za pressure 2 years sasa lakn 2023 hii moyo unanienda mbio natembea kidogo tu lakn moyo unanienda ressi sana had nipumzkeee ndo nakaa sawa hata kushuka kitandan kwenda choon naskia hivyo nawa kma mtu aliyekimbia sana had nipumzke ndo nakuwa sawa naomba unisaidie
Ninawashwa sana sehemu za mapaja naweza tumia dawa ganii