Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nlikuw nnaswali vidonda vya tumbo pia vn virusi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1268
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Balango nayo ni dalili ya ukimwi
Naomba kuuliza je kwa mtyu mwenye mzunguko wa siku 28 akishiriki tendo la ndoa cku ya kumi kutoka cku ya kuanza mp mfano mp nmeanza trh 6 then nkafanya mapenz trh 15 je napata ujauzito
Siku za kupata p zimesha pita huwa napata tarehe 26 ila adi ss sija pata na tumbo lina niumaa km la p vle ttz nn ila dam haitoki
Bt kwa Sasa kichwa kinauma tumbo mwili unakosa nguvu na napata choo kilain Sana kama cha kuharisha Leo n cku ya nane toka nkutane na mwanaume bt Jana nmepma mstari mmoja tyu umejitokeza je ni dalili za ujauzito au ni tatizo lingine
Nimeingia mp tarehe moja mwezi huu nkamaliza tarehe 2 danger ni tarehe 11 nimekutana na mwanaume tarehe 10 kunauwezekano wa kubeba mimba
Mimi Nina tatizo LA kuwa nikimkojolea mwanamke shahawa baada ya dakika chache anakuwa anahisi maumivu makali tumboni mwake nimetumia dawa za hospitali lakini tatizo linazidi kuwa kubwa na si Kwa mke wangu tu nimejaribu pia Kwa wanawake wengine hali Bado ni Ile Ile.Nifanyaje Ili nikae sawa?